Monday, July 27, 2009

Mwakyembe ajitoa mhanga


Mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe ameitaka Serikali iufunge mara moja mgodi wa dhahabu wa North Mara ili sumu inayodaiwa kutoka hapo isiendelee kuwadhuru wananchi. Mbunge huyo pia ametaka mgodi wa dhahabu wa Geita ufungwe kwa sababu, za kiafya.

No comments:

Post a Comment